Constitution: Law suit

Mahakama ya Mombasa imetupulia mbali msimamo wa mkuu wa sheria Amos Wako kwamba mahakama haiwezi ikaamua kesi yoyote dhidi ya shughuli ya marekebisho ya katiba. Uamuzi huo unamaanisha kwamba mkenya yeyote aliye na kesi dhidi ya shughuli inayoendelea ya kubuni katiba mpya aweza akaiwasilisha mahakamani.

View this post on my blog

评论

此博客中的热门博文

women's rights in Morocco8